Monday 29 February 2016

CAPITAL ONE CUP 2016: KIPA WILLY CABALLERO AIPA KOMBE MANCHESTER CITY


Kipa wa Manchester City, Willy Caballero, ameisaidia timu yake kunyakua kombe la Capital One jana usiku...Mechi ilikuwa kali sana na ya kasi pia vikumbo vilikuwa vingi...Liverpool mwishoni walifanikiwa kusawazisha bao kupitia kwa Coutinho dakika ya 83 na mpira ukaisha kwa draw...


Dakika za nyongeza Liverpool walikosa nafasi nyingi za kufunga lakini hali ilikuwa drw mpaka mwisho wa dakika za nyongeza...Matuta ndio yaliosaidia Manchester City kupumua baada ya kipa Willy Caballero kupangua shuti za Coutinho na Lalana...


Manchester City ya Pellegrini imefanikiwa kupata kombe mwaka huu...Hongera zao...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment