Showing posts with label Willy Caballero. Show all posts
Showing posts with label Willy Caballero. Show all posts

Wednesday, 17 August 2016

MANCHESTER CITY: JOE HART ANAWEZA KUONDOKA MWEZI HUU


Kutokana na kutewa kwenye squad na Pep Guardiola kipa Joe Hart anaweza kuondoka muda wowote mwezi huu...Kuondoka kwake pia kumekuja baada ya Manchester City kukubali kumchukua Claudio Bravo kutoka Barcelona kwa dau la pounds milioni 17...Kwa sasa Pep anamtumia Willy Caballero kama kipa namba 1...Bofya hapa upate habari zaidi.

Monday, 29 February 2016

CAPITAL ONE CUP 2016: KIPA WILLY CABALLERO AIPA KOMBE MANCHESTER CITY


Kipa wa Manchester City, Willy Caballero, ameisaidia timu yake kunyakua kombe la Capital One jana usiku...Mechi ilikuwa kali sana na ya kasi pia vikumbo vilikuwa vingi...Liverpool mwishoni walifanikiwa kusawazisha bao kupitia kwa Coutinho dakika ya 83 na mpira ukaisha kwa draw...


Dakika za nyongeza Liverpool walikosa nafasi nyingi za kufunga lakini hali ilikuwa drw mpaka mwisho wa dakika za nyongeza...Matuta ndio yaliosaidia Manchester City kupumua baada ya kipa Willy Caballero kupangua shuti za Coutinho na Lalana...


Manchester City ya Pellegrini imefanikiwa kupata kombe mwaka huu...Hongera zao...Bofya hapa upate habari zaidi.