Showing posts with label O'Sullivan. Show all posts
Showing posts with label O'Sullivan. Show all posts

Monday, 22 February 2016

SNOOKER: O'SULLIVAN ASHINDA WELSH OPEN KWA MARA YA 4


Ronnie O'Sullivan mkali wa snooker ameibuka tena kwa nguvu baada ya kushida frame 7 mfululizo na kumchapa namba 3 duniani Neil Robertson 9-5...


Mchezo ulikuwa wa michuano 17 ambayo Robertson alianza kwa kushinda frame 2 za mwanzo mpaka akafika 5-2...


Sasa O'Sullivan anasema anasubiria World Championship mwezi wa 4...Bofya hapa upate habari zaidi.

Saturday, 26 April 2014

WORLD SNOOKER CHAMPIONSHIP: O'SULLIVAN AINGIA ROBO FAINALI


Bingwa wa mwaka jana wa Snooker na mmoja wa mabingwa wa mchezo wa Snooker duniani, Ronnie O'Sullivan, ameingia robo fainali baada ya kutoa Joe Perry ambae ni mwingereza mwenzake 13-11.