Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Ndanda FC. Show all posts
Showing posts with label Ndanda FC. Show all posts
Sunday, 19 May 2019
Monday, 25 September 2017
Monday, 22 August 2016
VPL: SIMBA SC YAANZA VIZURI KWA USHINDI WA 3-1 DHIDI YA NDANDA
Simba Sports Club walefungua msimu wa Vodacom Premier Luague 2016/17 wa ushinda wa 3-1 dhidi ya Ndanda FC...Vifaa vipya vya Simba ndio waliotingisha nyavu....Sticker mkali kutoka Burundi Laudit Mavugo, Fredrick Blagnon kutoka Ivory Coast na winga Shiza Kichuya walipachika hayo mabao...Timu ya Joseph Omog ilianza kwa ari na kasi kubwa ikionyesha uwezo wa kuwa tishio msimu huu...Mavugo alikuwa hatari zana maeneo ya lango la Ndanda na baada ya kukosakosa mabao alifanikiwa kutingisha nyavu dakima ya 19...Bofya hapa upate habari zaidi.
Monday, 18 January 2016
TANZANIA MAINLAND PREMIERSHIP: YANGA KILELENI BAADA YA KUICHAPA NDANDA FC.
Yanga imerudi kilele baada ya luichapa Ndanda FC bao 1...Bao lilipatikana dakika ya 60 kupitia tuta...Kevin Yodani ndie aliyefunga bao hilo...Mechi haikuwa rahisi kwa Yanga kwani Ndanda walikaza buti kwelikweli...Awali Yanga walikosa penalty baada ya beki wa Ndanda kumfanyia ndivyo sivyo Simon Msuva lakini Amis Tambwe alikosa bao...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)
