Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Joseph Omog. Show all posts
Showing posts with label Joseph Omog. Show all posts
Friday, 2 December 2016
SIMBA SPORTS CLUB: KIPA MPYA KUTOKA GHANA AMESEMA ATAISAIDIA SIMBA KUPATA USHINDI
Kipa mpya, Daniel Agyei, anayetokea nchi ya Ghana huko magharibi mwa Afrika amesema ataisaidia Simba kupata ushindi msimu huu...
Monday, 22 August 2016
VPL: SIMBA SC YAANZA VIZURI KWA USHINDI WA 3-1 DHIDI YA NDANDA
Simba Sports Club walefungua msimu wa Vodacom Premier Luague 2016/17 wa ushinda wa 3-1 dhidi ya Ndanda FC...Vifaa vipya vya Simba ndio waliotingisha nyavu....Sticker mkali kutoka Burundi Laudit Mavugo, Fredrick Blagnon kutoka Ivory Coast na winga Shiza Kichuya walipachika hayo mabao...Timu ya Joseph Omog ilianza kwa ari na kasi kubwa ikionyesha uwezo wa kuwa tishio msimu huu...Mavugo alikuwa hatari zana maeneo ya lango la Ndanda na baada ya kukosakosa mabao alifanikiwa kutingisha nyavu dakima ya 19...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Posts (Atom)
