Showing posts with label David Ferrer. Show all posts
Showing posts with label David Ferrer. Show all posts

Wednesday, 27 January 2016

AUSTRALIAN OPEN 2016: JOHHANA KONTA NA ANDY MURRAY WAINGIA NUSU FAINALI



Uingereza kwa mara ya kwanza toka mwaka 1977 inawachezaji wawili ndani ya nusu fainali...Johanna Konta na Andy Murray walifanikiwa kuiingia nusu fainali ya Australian Open baada ya kuwachapa Zhang Shuai kutoka China na David Ferrer kutoka Spain...


Mechi nyingine Raonic alifanikiwa kuingia nusu fainali kwa mara ya kwanza alivyomchapa Gael Monfils 6-3 3-6 6-3 6-4...Bofya hapa upate habari zaidi.

Thursday, 21 January 2016

AUSTRALIAN OPEN 2016: LEYTON HEWITT AFUNGA UKURASA WA SINGLES BAADA YA KUCHAPWA



Aliyewahi kuwa namba 1 duniani, Leyton Hewitt, ameamua kuachia ngazi...Baada ya kuchapwa na David Ferrer 6-2 6-4 6-4 katika michuano inayoendelea huko Melbourne Australia sasa ameamua kuachana na tennis kabisa...Hewitt amewahi kuchinda vikombe vya singles 30 pamoja na US Open 2001 na Wimbledon 2002...Aliisaidia nchi yake kushinda Davis Cup mwaka 1999 na 2003...Alisema ilikuwa ni heshima kwa yeye kuichezea nchi yake ya Australia na amefurahi kumalizia hapo nyumbani...Bofya hapa upate habari zaidi.