Showing posts with label Yusuf Manji. Show all posts
Showing posts with label Yusuf Manji. Show all posts

Monday, 1 July 2024

FORMER YOUNG AFRICANS SPORTS CLUB SPONSOR & CHAIRMAN YUSUF MANJI HAS PASSED AWAY IN FLORIDA


 Prominent businessman and sponsor of Tanzania's greatest football club Young Africans has passed away in Florida, United States of America.

The businessman was undergoing treatment in Florida. No further information about  what caused his demise but speculation has it that he had heart problems.

The news of his passing was availed by his son, Mehbun Manji.


Thursday, 27 October 2016

Tuesday, 16 August 2016

YANGA FC: MANJI AAMUA KUACHIA UENYEKITI WA CLUB


Yusuf Manji amejiuzulu uenyekiti ya club ya Yanga...Ameamua hivyo kwa hiari yake na amesema inatosha...Baada ya hizo taarifa kutoka mashabiki wa Yanga walikutana kwenye club na kupinga kujiuzulu kwa Manji...



Manji amekuwa akiisaidia sana Yanga katika mambo mbali mbali na hivi karibuni alitaka kuikodisha timu kwa muda wa miaka 10 ili aweza kuifanya timu iendeshwe kisasa lakini mizengwe ilikuwa mingi...Sababu hasa haijajulikana lakini inasemekana kuna watu walimshauri asiendelee na mpango wa kukodisha...Mzee Akilimali inasemekana ni mmoja kati ya wazee wanaopinga Manji kukodishiwa timu...Tusubiri hatma ya maamuzi ya Manji na tuone mwelekeo wa timu kuanzaia sasa...


Yanga ni club ambayo ilianzishwa mwaka 1935 na watu wenye kipato cha chini...Sasa inamashabiki wengi sana nchini na nje ya nchi.

Thursday, 2 June 2016

YANGA: TFF YASOGEZA MBELE UCHAGUZI MPAKA JUNE 25


Kamati ya masuala ya uchaguzi ya TFF imetangaza kuwa uchaguzi wa Yanga utafanyika tarege 25 June na sio tarehe 6 June kama ilivyotangazwa hapo awali...Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi Mwanasheria Aloyce Komba amesemakamatiyake imeridhika na zoezi la kuchukua na kurudisha forms na wameona nisahihi kusogeza mbele uchaguzi...Kamati imesema mpaka sasa watu 9 wamejitokezakuchukua forms na mmoja nimchezaji Aaron Nyanda...Forms zinapatikana kwa shilingi 200,000kwanafasi 2 za juu kabisa...Kwa nafasi za kamati ni 100,000...Manji na Clement Sanga bado hawajachukua forms lakini inasemekana watatetea nafasi zao...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 29 January 2016

YANGA: MALINZI TELLS YANGA TO SET EARLY ELECTIONS



Rais of the Tanzania Football Federation (TFF), Jamal Malinzi, has told  Yanga to set their elections as early as possible.

Wednesday, 27 January 2016

YANGA: UCHAGUZI MAANDALIZI YAANZA


Club ya Yanga sasa iko mbioni kutayarisha uchaguzi wa club hiyo...Msemaji wa Yanga, Jerry Muro, amesema mambo sasa yameiva baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, kumchagua mwanasheria Mapande kusimamia kamati ya uchaguzi ili iweze kuandaa uchaguzi baada ya hiyo nafasi kuachwa wazi na mwanasheria Alex Mgongolwa...Mgongolwa alisema anaachia ngazi kwasababu anataka kupata muda wa kukaa na familia...Yusuf Manji amesema atasimama kutetea kiti cha uenyekiti na amesema watu wengine wajitokeze...Bofya hapa upate habari zaidi.

Friday, 20 June 2014

YANGA: MAZISHI YA GEORGE 'CASTRO' MPONDELA

Watoto wa Marehemu wakiweka shada la maua

Rais w TFF Jamal Malinzi (kushoto) akiwa na Yusuf Manji CEO wa Quality Group

Yusuf Manji akiweka shada la maua

Rais wa TFF Jamal Malinzi kiweka shada la maua