Tuesday 28 June 2016

LIVERPOOL: MANE ATOKA KWA DAKTARI WA LIVERPOOL AKIONYESHA ISHARA YA MAMBO YAKO POA


Sadio Mane amemaliza uchunguzi wa daktari na alivyokuwa anatoka akaonyesha idhara ya dole gumba kuwa mambo yako shwari...Mane yuko tayari kuichangamsha timu ya Liverpool msimu mpya...Southampton wametengeneza pesa nyingi kwenye dili la Mane...Dili hili ni Pounds milioni 30...Ni dili la 3 kwa Liverpool la bei ya juu sana ukiacha Andy Carol na Christan Benteke...Mane mwenye umri wa miaka 24 aliingia Southampton akitokea timu ya Red Bull Salzburg kwa Pound milioni 11...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment