Showing posts with label Cristian Benteke. Show all posts
Showing posts with label Cristian Benteke. Show all posts

Friday, 19 August 2016

CRYSTAL PALACE: LIVERPOOL YAKUBALIANA NA CRYSTAL PALACE KUHUSU BENTEKE


Hatimaye Liverpool na Crystal Palace wamefikia muafaka kuhusu Cristian Benteke...Palace wamekubali kumchuua Benteke kwa pounds milioni 27 na sasa anaelekea London kufanyiwa uchunguzi wa kiafya kabla ya kutangazwa rasmi kwa mashabiki na waandisi wa habari...Benteke aliingia Reds kwa dau la pounds milioni 32.5 Julu 2015 na sasa atakuwa mchezaji wa bei mbaya kwa historia ya Palace...Bofya hapa upate babari zaidi.

Tuesday, 28 June 2016

LIVERPOOL: MANE ATOKA KWA DAKTARI WA LIVERPOOL AKIONYESHA ISHARA YA MAMBO YAKO POA


Sadio Mane amemaliza uchunguzi wa daktari na alivyokuwa anatoka akaonyesha idhara ya dole gumba kuwa mambo yako shwari...Mane yuko tayari kuichangamsha timu ya Liverpool msimu mpya...Southampton wametengeneza pesa nyingi kwenye dili la Mane...Dili hili ni Pounds milioni 30...Ni dili la 3 kwa Liverpool la bei ya juu sana ukiacha Andy Carol na Christan Benteke...Mane mwenye umri wa miaka 24 aliingia Southampton akitokea timu ya Red Bull Salzburg kwa Pound milioni 11...Bofya hapa upate habari zaidi.