Friday 24 June 2016

TOTTENHAM HOTSPURS: WAZEE WA NORTH LONDON KARIBU KUNYAKUA WANYAMA


Tottenham bado wanaendela na mazungumzo na Southampton kuhusu Victor Wanyama...Du la Wanyama ni Pounds za Englang 11 milioni...Kenya International amebakiza mwaka 1 kwenye mkataba wake...Southampton walitoa Pound 12 milioni kumchukua Wanyama kutoka Celtic...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment