Wednesday 8 June 2016

ARSENAL: BIASHARA YA JAMIE VARDY KUSUBIRI EURO 2016


Wanaoangalia maslahi ya Jamie Vardy wamesema Vardy nafikiria Euro 2016 kwa sasa...Arsenal walianza kuonyesha kumtaka na wako tayari kutoa pesa avunje mkataba wake lakini kwa sasa inabidi biashara zote zisubiri...Kwa sasa Varrdy yuko France na sqaud ya England tayari kucheza na Russia ndani ya Marseille jumamosi...Bofya hapa upate habari zaidi. 

No comments:

Post a Comment