Friday 24 June 2016

LEBRON JAMES: NITABAKIA CLEVELAND CAVALIERS



LeBron James na timu yake ya Cleveland Cavaliers waliochukia ubingwa wa NBA hivi juzi tu wmerudi nyumbani na kupokelewa kama wafalme...



Toka mwaka 1964 mji wa Cleveland haujawahi kushinda kitu chochote...



Katika kusherehekea ushindi LeBron James au King James kwa jina lingine amesema bado ataendelea kuwepo na timu ya Cleveland...Bofya hapa upate habari zaidi.








No comments:

Post a Comment