Thursday 30 June 2016

CHELSEA FC: MITCHY NDANI YA STAMFORD BRIDGE


Mchezaji hatari wa timu ya taifa ya Belgium na Marseille, Mitchy Batshuayi, tayari amekamilisha taratibu za usajili za kuingia Stamford Bridge...Mitchy amechukuliwa kwa dau la Pound milioni 33...Kwa sasa taratibu za kuangalia afya yake zimekamilika vizuri na yuko France tayari kucheza mechi za robo fainali zinazoanza leo usiku saa 4...Belgium wanatarajiwa kucheza kesho dhidi ya Wales...Bofya hapa upate bahari zaidi.

No comments:

Post a Comment