Friday 3 June 2016

AFRICA CUP OF NATION 2017: ALGERIA YAPATA NAFASI GABON


Algeria imefanikiwa kupata nafasi ya kucheza AFCON 2017 kutokana na ushindi wao wa 2-0 dhidi ya Seychelles...Algeria wameshinda Group J na mabao yalitoka kwa Yassine Benzia na El Arabi Saudani...Algeria wamechukua points zao 13 katika mechi 5 na hakuna timu inaweza kumfikia...Leo mechi zingine za kufuzu zinaendelea...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment