Sunday 19 June 2016

US OPEN 2016: SHANE LOWRY AONGOZA US OPEN


Shane Lowry anaongoza michuono mikubwa sana kwenye calender ya Golf...Lowry yuko -5 akifuatiwa na Andrew Landry -2...Sergio Garcia, Lee Westwood na Dustin Johnson wote wako -1...Lowry bado ana mashimo 4 ya kumalizia kabla hajaanza round ya mwisho Jumapili ndani ya Oakmond Country Club...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment