Sunday 31 July 2016

SIMBA SPORTS CLUB: SIMBA YAFANYA MAAMUZI YA KUBADILIKA NA KUWA KAMPUNI


Simba Sports Club wameamua kwa pamoja kubadilika na kuwa timu ya kisasa...Wamekubali kuendesha shughuli za timu kikampuni zaidi...


Dewji au kwa jina maarufu 'MO' anataka kutoa 20 billion achukue asilimia 51 ili kuiwezesha timu iendeshwe kisasa...


Mdau mashuhuri wa Max Sports na mdau mkubwa sana wa Simba SC, Octavian Mshiu, alikuwepo kushuhudia historia ambayo imewekwa na wadau wa Simba...Taswira hizi ni kwa hisani ya mdau Mshiu...Kila la heri Simba SC kwa mabadiliko haya ya kihistoria...

No comments:

Post a Comment