Monday 25 July 2016

TOUR DE FRANCE 2016: FROOME ASHINDA TENA TOUR DE FRANCE


Chris Froome na timu yake ya SKY wameshinda Tour de France kwa mara ya 3 sasa...Kabla ya mwaka 2008 Froome alikuwa anaendesha biskeli na timu ya Kenya...Yeye ni mzaliwa wa Kenya lakini raia wa England...


Ni kati ya waendesha baiskeli wachache ambao wameweza kushinda Tour de France mara 3...Ni mtu wa 8 kumaliza wa 3 katika historia ya Tour de France...


Froome aliweza kuingia Paris kwa ustaa akiwa na Champagne na Beer kabla ya mbio za mwisho...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment