Tuesday 26 July 2016

ANTONIO CONTE: CARLOS TEVEZ AMTOLEA NJE CONTE


Katika harakati za kuimarisha safu ya Chelsea Antonio Conte aliamua kumfukuzia Carlos Tevez lakini Tevez ametoa nje...Safu ya mbele ya ya Diego Gosta akisaidiwa na Michy Batshuay inaonekana badi inahitaji mtu wa kuisaidia na alitaka Tevez aje lakini Tevez kachomoa...Kwa sasa Tevez anachezea Boca Juniors na amesema msimu huu hato rudi Premiership...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment