Friday 29 July 2016

GONZALO HIGUAIN: HIGUAIN AMESEMA ATAONYESHA THAMANI YAKE YA MILIONI 75.3 POUNDS NDANI YA JUVE


Katika transfer za bei mbaya ya Gonzalo Higuain kwenda Juve kwa dau la milioni 75.3 nayo imo...Higuain amesema ataonyesha thamani yake ndani ya Juve...Gonzalo mwenye umri wa miaka 28 amesaini mkataba wa miaka 5 na Juve...Higuain alikuwa anaichezea Napoli ambapo mmiliki wa Napoli, Aurelio De Laurentiis, amemuita Higuain msaliti alivyohamia Juventus...Hao wawili hawaelewani kabisa...


Higuain alishinda Golden Boot ya Italy inayoitwa Capocannoniere kwa kumaliza ligi ya Serie A akiwa na maba 36 ambayo ni sambamba na rekodi ambayo ipo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment