Tuesday 26 July 2016

MICHAEL JORDAN: JORDAN AFUNGUKA KUHUSU MAUWAJI YA WATU WEUSI MIKONONI MWA POLICE NCHINI MAREKANI


Michael Jordan, mwanamishezo mashuhuri sana na tajiri, amefunguka na kuongea juu ya mauaji yanayoendelea nchini USA ya watu weusi mikononi mwa polisi...Amesema hawezi kukaa kimya kwa sababu anaelewa jinsi gani familia za wafiwa zinapitia nini kwani baba yake mzazi aliuwawa kwa risasi na watu waliotaka kuiba gari yake mwaka 1993...Jordan amesema mambo yanayoendelea inabidi yaache kwani America ni nzuri zaidi ya maovu...Jordan ametoa $2 milioni kwenda kwa vyama viwili ambavyo sio vya Serikali vyakusaidia watu kwenye mikasa kama hii...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment