Friday 29 July 2016

ARSENAL FC: MLS ALL-STARS YACHAPWA NA ARSENAL 2-1


Arsenal imeshinda mechi dhidi ya wakali wa ligi ya America MLS maba 2-1 ndani ya uwanja wa San Jose Earthquakes wenye jina la Avaya Stadium...


Joel Campbell, Costa Rican International, alianza kwa kuiweka Arsenal mbele kwa kupitia tuta...


Alipachika bao safi upande wa kushoto mwa kipa na kipa aliufwata lakini ulikuwa na kasi ya ziada...



Mkali wa Chelsea wa zamani Didier Drogba alisawazisha bao la MLS All -Stars...


Mwishoni dogo Chuba Akpom alipachika bao la ushindi akipokea cross kutoka kwa Nacho Monreal...


Granit Xhaka nae alicheza kwa mara ya kwanza kabisa toka atoke Borussia Monchengladbach...


Oxlade-Chamberlain alicheza vizuri sana na alipata 'shot on goal'...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment