Tuesday 26 July 2016

ROGERS CUP 2016: DOG AMSHANGAZA KYRGIOS


Bingwa wa Wimbledon kwa upande wa vijana, Denis Shapovalov, amemchapa namba 19 duniani Nick Kyrgios katika round ya kwanza ya Rogers Cup huko Toronto, Canada...Kyrgios anayetokea Australia alitandikwa 7-6 (7-2) 3-6 6-3...


Kyrgios amekubali alicheza ovyo...Ni mara ya 2 tu dogo Shapovalov mwenye umri wa miaka 17 anacheza michuano ya ATP...Atakutana na Grigor Dimitrov wa Bulgaria...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment