Bingwa wa Wimbledon kwa upande wa vijana, Denis Shapovalov, amemchapa namba 19 duniani Nick Kyrgios katika round ya kwanza ya Rogers Cup huko Toronto, Canada...Kyrgios anayetokea Australia alitandikwa 7-6 (7-2) 3-6 6-3...
Kyrgios amekubali alicheza ovyo...Ni mara ya 2 tu dogo Shapovalov mwenye umri wa miaka 17 anacheza michuano ya ATP...Atakutana na Grigor Dimitrov wa Bulgaria...Bofya hapa upate habari zaidi.
No comments:
Post a Comment