Wednesday 20 July 2016

SEVILLA: FRAANCO VASQUEZ AINGIA VILLA HUKU RAIS WA ASEVILLA AWEKA DAU LA EURO 40 MILIONI KWA KEVIN GAMEIRO

Kevin Gameiro
Rais wa Sevilla, Jose Maria del Nido, amesema Kevin Gameiro hauzwi chini ya Euro 40 milioni huku PSG na Barcelona wakiwa wanamzengea...Gameiro mwenye umri wa miaka 29 ameifungia Sevilla mabao 29 msimu uliopita...

Franco Vasquez
Sevilla pia imesema imesaini mkataba na sticker wa zamani wa Palermo Franco Vasquez...Bofya hapa upate habari zaidi

No comments:

Post a Comment