Monday 25 July 2016

DALAS COWBOYS: BASI YA DALAS COWBOYS LAPATA AJALI WANNE WAPOTEZA MAISHA


Basi la Dallas Cowboys limepata ajali likiwa linaelekea Las Vegas...Watu wanne wamepoteza maisha baada ya basi la Dallas Cowboys kugongana na gari dogo aina ya Van na kutoka nje ya barabara...Basi hilo lilikuwa limebeba wafanyakazi wa Cowboys na hakukuwa na mchezaji hata mmoja...


Watu wote waliopoteza maisha walitoka gari dogo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment