Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Saturday, 30 July 2016
F1: HAMILTON ACHUNGUZWA KUTOKANA NA KUTOKA PIT BILA UANGALIFU
Lewis Hamilton yuko chini ya uchunguzi kutokana na kutoka pit stop bila kuwa makini....Wakati anatoka team Haas nao walikuwa tayari wameweka na Hamilton anatoka mbele yao...
Kama akukutwa na hatia ataanza nafasi ya 10 mashindano ya kesho Germany...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment