Saturday 30 July 2016

F1: HAMILTON ACHUNGUZWA KUTOKANA NA KUTOKA PIT BILA UANGALIFU


Lewis Hamilton yuko chini ya uchunguzi kutokana na kutoka pit stop bila kuwa makini....Wakati anatoka team Haas nao walikuwa tayari wameweka na Hamilton anatoka mbele yao...


Kama akukutwa na hatia ataanza nafasi ya 10 mashindano ya kesho Germany...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment