Tuesday 19 July 2016

RIO 2016: RUSSIA WANAWEZA KUFUNGIWA KUCHEZA RIO 2016


Wakuu wa Olympics kukaa na kuamua kama Russia watahudhuruia Rio 2016...Report iliyotoka hivi karibuni imebaini Russia ilikuwa na mpango kwa miaka 4 ya kuwaongezea nguvu wanariadha wao huku wakipotezea majibu ya vipimo ambavyo hubaini kama mwanariadha anatumia madawa ya kuongeza nguvu au la...Kutokana na hiyo report shirika la kuzuia matumizi ya madawa ya kuongeza nguvu (WADA) limetoa pendekezo kuwa Russia ifungiwe Rio 2016...


International Olympic Committee (IOC) itaamua kuhusu suala la Russia...Russia wameomba wasifungiwe Rio 2016... Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment