Sunday 31 July 2016

BOXING: CARL FRAMPTON AMCHAPA KWA POINTS SANTA CRUZ NA KUWA BINGWA WA WBA FEATHERWEIGHT


Carl Frampton amemchapa Leo Santa Cruz katika mechi kali sana iliyoishishia kwenye points jijini New York...Frampton amenyakua ubingwa wa dunia WBA featherweight kwa majaji wawili kuamua ameahinda na jaji mmoja kuamua pompano ni draw...Ni mara ya kwanza Santa Cruz anachapwa na ni mara ya kwanza Frampton anazichapa katika uzito wa featherweight baada ya kupanda uzito kutoka bantam...


Pambano lilikuwa kali sana mpaka mwisho na kama ulikosa endelea kusoma habari hapa Max Sports utapata dondoo za video ya fight...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment