Friday 22 July 2016

LIVERPOOL: NETHERLANDS INTERNATIONAL WILJNALDUM KUINGIA THE KOP


Liverpool wamekubali kumchukua Netherlands International, Georgenio Wiljnaldum, kwa Pounds milioni 25 kutoka Newcastle...Wiljnaldum ana miaka 25 na leo atapata ushauri wa daktari ili aweze kukamilisha taratibu za usajili...Bado alikuwa anamkataba wa miaka 4 na St. James' Park...Machezea timu yake ya taaifa mara 30 katika nafasi ya midfielder...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment