Friday 22 July 2016

RIO OLYMPICS 2016: WANARIADHA WA RUSSIA WAFUNGIWA KUSHIRIKI RIO 2016



Chama cha Olympics kimewafungia timu ya  Russia kushiriki katika Rio Olympics kutokana na ripoti ambazo zimetoka zinazosema Russia imehusika kuficha maovu na kuendekeza madawa ya kuongeza nguvu...Baada ya kufungiwa Russia walijaribu sana kubadilisha uamuzi huu lakini wamegonga mwamba...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment