Sunday 24 July 2016

IOC: WANARIADHA WA RUSSIA AMBAO WAKO SAFI KURUHUSIWA KUSHIRIKI OLYMPIC


International Olympics Committee (IOC) wamebadilisha uamuzi wao wa kufungia Russia kabisa na sasa itaruhusi wanariadha safi tu kushiriki...Wanariadha watapitia uangalizi wa ziada kabla ya kushiriki Olympics...Russia ilifungiwa kutokana na kuhusika na utumiaji wamadawa ya kuongeza nguvu...Uamuzi huu umeshangaza wengi na unaonekana kuwaonea huruma Russia...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment