Wednesday 6 July 2016

WIMBLEDON 2016: VENUS WILLIAMS NDANI YA NUSU FAINALI TOKA MWAKA 2009


Venus Williams amefanikiwa kuingia nusu fainali ya michuano mikubwa ya Wimbledon baada ya kumchapa Yoroslava Shvedova 7-6 (7-5) 6-3...Mdogo wake Venus, Serena Williams, nae amaingia nusu fainali alivyo mchapa Anastasia Pavluchenkova 6-4 6-4....Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment