Thursday 28 July 2016

MANCHESTER CITY: EVERTON DEFENDER JOHN STONES ANATAFUTWA NA CITY


Beki wa Everton, John Stones, anatafutwa na Manchester City na maongezi bado yanaendelea...Everton wanataka 50 milioni pounds kumchukua dogo mwenye umri wa miaka 22...Stones alitokea Barnley na ilikuwa karibu aingie Chelsea...Stone alikuwa kwenye squad ya England ya Euro 2016 lakini hakucheza...Bofya hapa upate habari zaidi

No comments:

Post a Comment