Thursday 28 July 2016

ARSENAL FC: BEKI WA KATI FABIAN SCHAR ANASAKWA NA ARSENAL


Arsenal bado wanahitaji kujaza nafasi za mabeki na sasa wanamwinda beki wa kati Fabian Schar...Schar anatoka Switzerland na anachezea timu ya 1899 Hoffenheim...Kwa sasa Per Mertesacker atakuwa nje miezi kadhaa katokana na majeraha na Lauren Koscienly yuko likizo ya ziada...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment