Wednesday 6 July 2016

VALENCIA: NANI AINGIA VALENCIA AKITOKEA FERNEBAHCE


Forward wa zamani wa Manchester United, Nani, amesaini mkataba wa miaka 3 na Valencia...Valencia ndio waliotoa habari hizi na kusema wamelipa £7.2 millions kunyakua Nani...Stoke City walikuwa wanataka kumrudisha Nani kwenye English Premiership...Nani amechezea timu za Sporting CP, Manchester United na Fernebahce...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment