Friday 29 July 2016

F1: UZIO WA MAGARI YA F1 'HALO' KUTOTUMIKA MSIMU WA 2017


Ferrari na uongozi wa F1 walianza kutengeneza 'halo' au uzio wa magari ya F1 kuzuia magereva kuumia katika ajali lakini kuna upande wa Strategy Group ambayo inaongozwa na boss wa F1 Bernie Ecclestone wamepinga na kusogeza mbele mpango huo...Sasa mpango huo hautakuwepo msimu ujao na unaweza kuanza msimu wa 2018...


Madereva wengi wakiwemo Lewis Hamilton na Sebastian Vettel wamesema usalama wao ni muhimu zaidi na itabidi waongeze hiyo halo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment