Tuesday 26 July 2016

FIFA WORLD CUP: AFRICA KUPEWA NAFASI 2 KAMA MASHINDANO YATAPANUKA ASEMA INFANTINO


Boss wa Fifa, Gianni Infantino, amesema Africa itapata nasafi 2 za World Cup finals kama mashindano yataongeza timu mpaka 40...Kabla hajachaguliwa kuongoza Fifa Infantino alipendekeza timu ziongezwe...Kwa sasa Africa ina nafasi 5 tu...Kama timu zitaongezwa itakuwa kuanzia mwaka 2026...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment