Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Tuesday, 26 July 2016
FIFA WORLD CUP: AFRICA KUPEWA NAFASI 2 KAMA MASHINDANO YATAPANUKA ASEMA INFANTINO
Boss wa Fifa, Gianni Infantino, amesema Africa itapata nasafi 2 za World Cup finals kama mashindano yataongeza timu mpaka 40...Kabla hajachaguliwa kuongoza Fifa Infantino alipendekeza timu ziongezwe...Kwa sasa Africa ina nafasi 5 tu...Kama timu zitaongezwa itakuwa kuanzia mwaka 2026...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment