Monday 4 July 2016

WIMBLEDON 2016: NICK KYRGIOS ATATETEA NAFASI YA KUINGIA ROBO FAINALI NA ANDY MURRAY


Nick Kyrgios anayetokea Australia ni mchezaji tennis mzuri lakini anambwembwe na makelele akiwa uwanjani amefanikiwa kumchapa Feliciano Lopez...Dogo Kyrgios mwenye umri wa miaka 21 na ni namba 22 duniani kwa ubora alishinda 6-3 6-7 (2) 6-3, 6-4...Sasa atakutana na mchezaji namba 2 duniani Andy Murray kuwania nafasi ya robo fainali...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment