Tuesday 12 July 2016

KIGALI PEACE MARATHON 2016: MDAU WA MAX SPORTS FRANSIS KASSIDI NA UTORE LEMA NA WADAU WENGINE WALITUWAKILISHA KIGALI MARATHON


Wadau wakubwa wa Max Sports wakiongozwa na mdau Fransis Kassidi walituwakilisha Kigali Peace Marathon 2016 nchini Rwanda...


Wadau walikuwa wako fit kabisa na walijitahidi sana huku wakifanya networking na wadau wengine wa kinyarwanda...


Safi sana wadau kwa kutuwakilisha huko Kigali...Wengi tuigeni mfano wa hawa wadau...

No comments:

Post a Comment