Friday 22 July 2016

MANCHESTER CITY: PEP NA SQUAD YAKE WAINGIA CHINA TAYARI KUKUTANA NA UNITED


Pep Guardiola na timu yake ya Manchester City wameingia China kucheza mechi za awali za kirafiki...


Manchester City watakutana na Manchster United na Borrusia Dortmund ndani ya Beijing katika mechi za kujiweka sawa tayari kwa msimu mpya...


Ni mara ya kwanza Pep anakutana na Jose mourinho toka mwaka 2012...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment