Saturday 2 July 2016

MANCHESTER UNITED: USAJILI WA ZLATAN WAKAMIIKA


Manchester United wamekamilisha usajili wa Zlatan Ibrahimovic...Ibrahimovic amesaini mkataba wa mwaka 1 na the Red Devils...Amesema amefurahi kuingia Manchester United na yuko tayari kucheza Premier League...Ibrahimovic ni mchezaji wa 2 kusajiliwa wa kwanza ni Eric Bailly...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment