Showing posts with label Eric Bailly. Show all posts
Showing posts with label Eric Bailly. Show all posts

Tuesday, 5 September 2023

DEFENDER BAILLY JOINS BESIKTAS FROM.MAN UNITED

Reuters 

Defender Eric Bailly has joined Turkish side Besiktas on a permanent transfer from Manchester United, the Premier League club said on Tuesday.

The Ivory Coast international spent last season on loan at Olympique Marseille, playing in 17 league games as they finished third.

Saturday, 29 October 2016

ERIC BAILLY: £30 MILLION SIGNING SEEN WITH A LEG BRACE AT OLD TRAFFORD


Eric Bailly returned to Old Trafford for the Burnley game and was spotted with a leg brace...He was with his wife Vanessa Troupah and their young son...

Saturday, 2 July 2016

MANCHESTER UNITED: USAJILI WA ZLATAN WAKAMIIKA


Manchester United wamekamilisha usajili wa Zlatan Ibrahimovic...Ibrahimovic amesaini mkataba wa mwaka 1 na the Red Devils...Amesema amefurahi kuingia Manchester United na yuko tayari kucheza Premier League...Ibrahimovic ni mchezaji wa 2 kusajiliwa wa kwanza ni Eric Bailly...Bofya hapa upate habari zaidi.

Tuesday, 7 June 2016

MANCHESTER UNITED: ERIC BAILLY KARIBU KUINGIZA MIGUU OLD TRAFFORD KWA DAU LA £30 MILIONI


Manchester United wanamalizia deal ya kumchukua Eric Bailly kutoka Villarreal kwa dau la milioni £30...Dogo mwenye umri wa miaka 22 anatarajiwa kupitishwa na madaktari leo na badae kutangazwa kwa mashabiki...Jose Mourinho yuko kwenye mkakati wa kuimarisha timu na ameanza kujazia mapengo ndani ya squad ya old trafford...Bofya hapa upate habari zaidi.