Monday 30 June 2014

WORLD CUP 2014: UTANI WA KLM WAZUA UTATA KWENYE TWITTER

Shirika la ndege la Netherlands, Royal Dutch Airlines au KLM, wamezua utata mkubwa sana kwa kuweka picha ambayo iliwatibua mashabiki wa Mexico na wadau wengine...Shirika la ndege la Mexico AeroMexico nao wakajibu kwenye twitter yao...Mambo ya World Cup mwaka huu matamu na machungu...Hii ni World Cup ya aina yake na imejaa furaha sana...Hebu cheki hapo chini KLM na AeroMexico wakitaniana...


Kwanza walianza KLM...na kusema Adios Amigos!


Wakajibu AeroMexico...Tunashukuru kwa mashindano haya makubwa, tunafuraha na tunasubiriwa nyumbani....




Bofya hapa usome watu walivyo jibu hizo tweets...

No comments:

Post a Comment