Tuesday 17 June 2014

WORLD CUP 2014: USA YAANZA VIZURI


USA meanza vizuri michuano ya World Cup huko Brazil kwa kuichapa Ghana 2-1...USA wameweka rekodi kwa kufunga goli la 5 la haraka katika historia ya World Cup...Bao hilo lilifungwa dakika 29 tu toka mpira uanze...Bao lilifungwa na Clint Dempsey...Ghana walichangamka baadaye sana na Andrew Ayew alipokea mpira kutoka kiganja cha nyuma cha Asamoah Gyanbao na kupachika bao...Mwishoni wamarekani walianza kuishiwa pumzi lakini John Brooks aliweza kupata bao la ushindi kwa kichwa...Hichi ni kisasi ambacho Marekani wanalipa kutokana na kutolewa katika mechi za World Cup zilizopita na Ghana...Bofya hapa upate habari zaidi...

No comments:

Post a Comment