Thursday 12 June 2014

WORLD CUP 2014: LEO NDIO KOMBE LA DUNIA LINAANZA! USIKOSEEEE!!!!!



Leo ndio leo! Kombe la dunia litaanza leo kwa sherehe kubwa ya ufunguzi na badae kutakuwa na mechi ya kwanza kati ya wenyeji Brazil na Croatia...Mechi itaanza saa 5 kamili usiku...Usikose!!!! Timu 32 za nchi mbalimbali zitachuana mpaka apatikane bingwa July 13...Brazil haijawahi kufungwa mechi yao ya kwanza...Kazi ipo...Pamoja na matatizo ya hapa na pale tunatarajia World Cup itakuwa safi tu...Usikose kuangalia!!!

No comments:

Post a Comment