Thursday 19 June 2014

WORLD CUP 2014: SPAIN YAVUNJA REKODI


Vargas akipachika bao

Spain jana ilivunja rekodi kuwa timu ya kwanza ambayo ni mabingwa watetezi kufungwa mechi mbili za mwanzo na kutolewa...Hii ilitokea katika uwanja wa Maracana baada ya kuchapwa 2-0 na Chile...Spain sasa umahiri wao kwa miaka 6 ndio umeisha... Chile walicheza vizuri sana na pia goli lao la kwanza lilikuwa la kiufundi sana na aliye funga alikuwa Eduardo Vargas kwenye dakika ya 20...
 
Casillas akifungwa baada ya kutokuwa makini

Chales Aranguiz alipachika bao la 2 mnamo dakika ya 43 baada ya Ike Casillas kutokuwa makini...Chile na Netherlands watasonga mbele kwenye mtoano...Bofya hapa usome zaidi....

No comments:

Post a Comment