Tuesday 24 June 2014

WORLD CUP 2014: NEYMAR AIBEBA BRAZIL




Dogo Neymar ameibeba Brazil kwa kupachika mabao mawili safi dakika ya 17 na dakika ya 34 na kuiweka Brazil kwenye nafasi ya 16 bora...Cameroon waliambulia goli moja dakika ya 26 kutok kwa Joel Matip...Wengine waliopachika magoli kutoka Brazila ni Fred dakika ya 49 na Fernandinho dakika ya 84...Sasa Brazil wanakibarua na Chile...Kazi bado ipo...

No comments:

Post a Comment