Friday 13 June 2014

NBA: SPURS YAIGARAGAZA MIAMI HEAT TENA

 
Tony Parker akikimbiza mpira

Maji shingoni kwa Miami Heat baada ya kupata kichapo kikali tena kwao na San Antonio Spurs 107-86...Mabingwa watetezi Miami wanaonekana kushindwa kumudu game ya Spurs na wako karibu kutolewa...Dwane Wade hakuisaidia timu yake kwani alipata point 1 kati ya 10 vipindi vitatu na alimaliza game na points 10 tu...LeBron james alijaribu lakini hakufu dafu kwa Tony Parker na wenzake...James alipata points 29 na rebound 8...Kawhi Leornrd alipata points 20 na rebound 14...Kazi ipo game 5 itakuwa Jumapili usiku...Usikose...Bofya hapa upate habari zaidi....

No comments:

Post a Comment