Saturday 28 June 2014

WORLD CUP 2014: ROUND YA MTOANO INAANZA LEO


Round ya mtoano inaanza leo...Timu 16 bora zilizobaki sasa zinaanza safari ya kuwania ubingwa wa dunia...Timu ikifungwa inafunga virago na kuelekea nyumbani kwao...Mechi ya za leo ni kati ya Brazil na Chile saa 1 usiku na badae saa 5 mechi kati ya Colombia na Uruguay...Usikose kuangalia...


No comments:

Post a Comment