Friday 6 June 2014

WORLD CUP 2014: BEATS BY DRE WATOA TANGAZO KALI


Kampuni ya Beats By Dre iliyoanzishwa na mwanamuziki na producer mkali sana kutoka Marekani, Dr. Dre, na kununuliwa na kampuni ya Apple Inc kwa bilioni 3 dola za Marekani imeanza kutoa matangazo ya Beats By Dre kwa jina la 'Before the Game'...Tangazo moja hapo chini limehusisha wachezaji ma staa kutoka sehemu mbalimbali duniani...Hebu pata hilo tangazo kwa maa ya kwanza kutoka Max Sports...


No comments:

Post a Comment