Tuesday 3 June 2014

BOXING: FLOYD MAYWEATHER AACHANA NA GOLDEN BOY PROMOTIONS


Baada ya CEO wa Golden Boy Promotions, Richard Shaefer, kuachia ngazi kambi ya Mayweather Promotions kupitia CEO wao Leonard Ellerbe wamesema hawatafanya tena kazi na Golden Boy Promotions.


CEO wa Mayweather Promotions (kushoto) na CEO wa zamani wa Golden Boy Promotions

Oscar De La Hoya ambaye alianzisha Golden Boy alikuwa hapatani na CEO wake kwa muda mrefu sasa.

Floyd Mayweather amefanya kazi na Golden Boy kwenye mapambano yake 9 yaliyopita.

Bado Golden Boy wana mabondi wengi wzuri kama Amir Khan, Marcos Maidana, Adrien Broner, Saul "Canelo" Alvarez na wengine wengi....Bofya hapa upate habari zaidi....

No comments:

Post a Comment